Regragui atarajia ushindi nusu fainali ya AFCON
14 Januari 2026
Matangazo
Morocco itakutana na Nigeria katika nusu fainali ya pili baada ya Senegal kukabiliana na mabingwa mara saba wa AFCON, Morocco. Waliwahi kukutana kwenye fainali za mwaka 2021, na Senegal ikaibuka mshindi.
Regragui amesifia si tu ubora wa viwanja bali pia hali nzuri ya hewa na wachezaji bora ulimwenguni katika nusu fainali hii ikiwa ni pamoja na Mo Salah, Ashraf Hakimi, Ademola Lookman na Sadio Mané na kuongeza kuwa hii inatoa nafasi ya kuonyesha ubora wa bara la Afrika kwenye soka la ulimwengu.