1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaChina

Rais Putin akaribishwa kwa heshima ya juu Beijing

20 Mei 2026

Marais wa China Xi Jinping na wa Urusi Vladimir Putin wametoa kauli zinazoashiria kuimarika kwa uhusiano wao wa kimkakati wakati wa mazungumzo ya ngazi ya juu yaliyofanyika mjini Beijing. Ziara ya Putin ya siku mbili ameifanya siku chache baada ya kumalizika kwa ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China.

https://p.dw.com/p/5E3JU
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio