1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Kenyatta azindua ripoti ya maridhiano 'BBI'

26 Oktoba 2020

Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa zamani nchini Kenya Raila Odinga, wamezindua rasmi leo ripoti ya maridhiano, maarufu BBI inayolenga kuwapatanisha Wakenya wote bila kujali makabila yao. Zaidi tazama video hii ya Thelma Mwadzaya.

https://p.dw.com/p/3kSh8