1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Museveni amteua mwanawe mkuu wa jeshi

24 Juni 2021

Hatua ya rais Yoweri Museveni kumteua mwanawe kuwa kamanda wa majeshi ya ardhini imeibua mjadala mkubwa nchini Uganda. Baadhi wanahisi huu ni muendelezo wa mchakato wa kumuandaa kumkabidhi madaraka pale atakapostaafu.

https://p.dw.com/p/3vW48