1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mji wa Lagos nchini Nigeria

John Juma
10 Aprili 2018

Lagos ni kati ya miji mikubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla. Mji huu uliojaa shughuli mbalimbali ni kitovu cha uchumi nchini Nigeria. Makala ya "Vijana Mubashara 77-Asilimia" inakupeleka katika mji huo kupitia video hii. Tuandamane basi

https://p.dw.com/p/2vlDP