JamiiMiaka 100 ya uhujaji wa mashahidi wa Uganda To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii03.06.20203 Juni 2020Ni miaka mia moja tangu mahujaji wa kwanza walipojumuika kwenye madhabahu ya Mashahidi wa Uganda Namugongo baada ya kutawazwa kuwa wenye heri mwaka 1920. Lakini sherehe za mwaka huu zimekosa msisimko kutokana na COVID-19.https://p.dw.com/p/3dD4kMatangazo