1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 06.04.2019

Yusra Buwayhid
6 Aprili 2019

Wapiganaji 100 wa Khalifa Hifter wakamatwa Libya wakijaribu kuingia mji mkuu wa Tripoli. Kiongozi wa mpito Venezuela Juan Guaido aitisha maandamano ya nchini kote Jumamosi. Na, Waziri wa Fedha wa Uingereza Philip Hammond asema serikali yatumai kufikia makubaliano ya Brexit na chama cha upinzani Labour.

https://p.dw.com/p/3GOeH