Viongozi wa Ufaransa na Uingereza wamekusanyika mjini Paris pamoja na viongozi wa Mataifa mengine ya Ulaya kusogeza mbele mipango ya kuufungua mlango bahari wa Hormuz+++Takriban wahamiaji 15 kutoka Marekani wamewasili katika mji mkuu wa Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapema leo.