Iran yasema iko tayari kubadili msimamo kuhusu nyuklia ikiwa Marekani itaondoa vikwazo // Indonesia yasema wanajeshi 8000 wako tayari kupelekwa Gaza kwa ujumbe wa amani kufikia mwezi Juni // Zelensky asema washirika wake kuwasilisha msaada mpya wa nishati na kijeshi ndani ya siku tatu