JamiiMaporomoko ya ardhi yaua watu 34 UgandaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii12.10.201812 Oktoba 2018Maafa kutokana na maporomoko ya ardhi na mafuriko yametokea Uganda baada ya mvua kubwa. Watu 34 wameripotiwa kufariki huku watu kadhaa wakiwa bado hawajulikani waliko. Shughuli za uokozi zinaendeleahttps://p.dw.com/p/36RF6Matangazo