1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Kinagaubaga nna Mbunge wa DRC

Sudi Mnette26 Novemba 2019

Sudi Mnette anazungumza na Muhindo Nzangi, mbunge wa Kivu Kaskazini huko DRC juu ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini humo iliyoonesha rais wa zamani Joseph Kabila alitumia mara sita ya kiwango cha fedha alichopangiwa na Bunge.

https://p.dw.com/p/3TlkU