JamiiMafuriko Uganda yasababisha maafaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii11.05.202011 Mei 2020Zaidi ya familia 1,000 zimeachwa bila makao katika eneo la Kasese Magharibi mwa Uganda. Hii ni kufuatia kufurika kwa mito Nyamwamba Mubuku, Nyamughasana na Lhubiriha ambayo ilipasua kingo zao. https://p.dw.com/p/3c2i1Matangazo