Maandamano Iran
16 Juni 2009Matangazo
Kulingana na mpinzani wake mkuu Hossein Mousavi kura ziliibiwa katika uchaguzi huo wa rais uliofanyika Ijumaa iliyopita.Wapiganaji walio na msimamo mkali wanaoiunga mkono serikali walimuua mtu mmoja wakati wa maandamano yaliyowashirikisha maelfu ya watu hapo jana.Rais wa Marekani Barack Obama alisisitiza kuwa hataki kamwe kuuingilia uchaguzi huo ila anatiwa shaka na hali iliyoko Iran kwa sasa.