1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kitabu cha maajabu visiwani Zanzibar

27 Januari 2022

Sadiki ukipenda, inasafiri hadi Pemba huko Zanzibar kukitizama kitabu kikongwe kilichookotwa baharini kikiwa kikavu bila ya kulowana. Wakaazi wanasimulia huku serikali ikijaribu kukitangaza kama mojawapo ya maajabu ya dunia. #Sadikiukipenda

https://p.dw.com/p/46Bq1