1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Rais Al-Sissi atafanikisha ajenda ya Afrika?

Josephat Charo Nyiro15 Februari 2019

Mbele ya Meza ya Duara, kipindi cha Maoni kinaangazia matukio ndani ya Afrika ikiwemo, rais wa Misri Abdel-Fattah Al-Sissi kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika, je atakuwa na mchango gani kuisukuma ajenda ya Afrika? Na Umoja wa Afrika umetangaza mwaka huu kuwa mwaka wa wakimbizi kwa lengo la kutafuta suluhisho, je ari ya kisiasa ipo? Aneyeyaongoza mjadala ni Josephat Charo

https://p.dw.com/p/3DQyq