JamiiIjue timu ya soka ya Walemavu UgandaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiSaumu Mwasimba12.09.201812 Septemba 2018Ni timu inayojiamini katika mchezo wa soka nchini Uganda.Timu ya soka ya vijana walemavu inajiandaa kwa michuano itakayofanyika mwakani nchini Angola.Timu hiyo ilianzishwa mwaka 2014 na ina wachezaji wenye ulemavu wa miguu na wengine hawana mikonohttps://p.dw.com/p/34loUMatangazo