1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya utulivu yarejea DRC

22 Septemba 2016

Kinshasa kumetulia baada ya siku kadhaa za maandamano na mauaji. Wapinzani wanataka Rais Kabila atangaze tarehe ya uchaguzi mkuu. Je, ujumbe umefika? Mchambuzi Paul Mahwera anatoa tathmini yake.

https://p.dw.com/p/1K6W1
Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa Kinshasa
Picha: Getty Images/AFP/J. D. Kannah

[No title]