JamiiAfrikaChanzo cha migogoro ya makabila MarsabitTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaMichael Kwena23.07.202023 Julai 2020Makala yetu leo, inaangazia chimbuko la mizozo katika jamii za wafugaji nchini Kenya, jimbo la Marsabit. Mizozo ya aina hiyo imepelekea mamia ya watu kufariki dunia, nyumba kuteketezwa moto, mifugo kuibiwa na watu kuyatoroka makazi yao.https://p.dw.com/p/3fpJMMatangazo