Kulingana na ripoti ya Jukwaa la kimataifa la uchumi, WEF hivi karibuni imesema ulimwengu utapaswa kusubiri kwa karibu karne moja kabla ya kushuhudia usawa wa jinsia. Kulikoni? na nini kinachoweza kufanyika kwa sasa? Ungana na Zainab Aziz anayeiangazia ripoti hiyo na mengineyo katika kipindi hiki cha wanawake na maendeleo.