1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Annegret Kramp-Karrenbauer

Annegret Kramp-Karrenbauer, wakati mwingine akiitwa kwa ufupisho wa majina yake kama AKK, ni mwanasiasa wa Ujerumani na waziri wa sasa wa ulinzi tangu Julai 2019 na mwenyekiti wa chama cha CDU tangu 2018.