1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
HistoriaAfrika

Amazons: Kikosi cha wanawake cha Ufalme wa Dahomey

26 Februari 2021

Ni ukweli usiopingika kwamba Ufalme wa Dahomey uliokuwa ukitawala kati ya karne ya 17 hadi ya 19 katika eneo lijulikanalo leo hii kama Benin, uliweza kustawi kutokana na kikosi cha mashujaa wa kike kilichoitwa Dahomey Amazons.

https://p.dw.com/p/3pxgg