1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.06.2021 - Matangazo ya Mchana

26 Juni 2021

Kansela wa Ujerumani amesema misimamo ya Hungary ni kitisho kwa hatma ya Umoja wa Ulaya. Rais Joe Biden amesema Marekani itaendelea kuiunga mkono Afghanistan. Rais wa Msumbiji ameapa kuwatokomeza kuwatokomeza wanamgambo wa itikadi kali.

https://p.dw.com/p/3vaxg