1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.02.2026 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ24 Februari 2026

Katika kumbukumbu ya miaka minne tangu uanze uvamizi wa Urusi dhidi Ukraine hivi leo, Urusi yakiri malengo yake Ukraine hayajafikiwa+++Mahakama kuu nchini Uganda imeahirisha kuendeshwa kwa kesi ya uhaini dhidi ya mwanasiasa wa upinzani Dokta Kizza Besigye+++Wakenya 600 waliokwama Cambodia waomba kurudishwa nyumbani

https://p.dw.com/p/59L4W