Katika kumbukumbu ya miaka minne tangu uanze uvamizi wa Urusi dhidi Ukraine hivi leo, Urusi yakiri malengo yake Ukraine hayajafikiwa+++Mahakama kuu nchini Uganda imeahirisha kuendeshwa kwa kesi ya uhaini dhidi ya mwanasiasa wa upinzani Dokta Kizza Besigye+++Wakenya 600 waliokwama Cambodia waomba kurudishwa nyumbani