Iran yasema haijaweka mpango wa kuzungumza tena na Marekani+++Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz na Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da Silva wafungua maonyesho ya biashara ya Hannover+++DRC na M23 zaafikiana kuhusu hatua muhimu za kibinaadamu+++Watoto wanane wauawa katika shambulizi Louisiana, Marekani