1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.02.2026 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Februari 2026

Askofu mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo amefariki dunia jana usiku katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam+++Vyanzo vya Marekani vimesema huenda maeneo machache ya kijeshi au ya kiserikali ya Iran yakashambuliwa hivi karibuni.

https://p.dw.com/p/5983A