Serikali ya Israel imeidhinisha mchakato wa kurasimisha usajili wa ardhi ya Wapalestina katika ukingo wa magharibi+++Vurugu za Oktoba 29 wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania ni mojawapo kati ya masuala yaliyojadiliwa katika mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi na serikali wa Umoja wa Afrika uliofanyika tarehe 14 hadi 15Februari mjini Addis Ababa, Ethiopia.