1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.02.2021 - Matangazo ya Mchana

14 Februari 2021

Rais wa Marekani amesema demokrasia imedhoofika baada ya Seneti kushinda kumtia hatiani Donald Trump. Maelfu ya watu wameendelea na maandamano ya kupinga utawala wa jeshi nchini Myanmar. Afghanistan inajaribu kudhibiti moto uliosababishwa na kuripuka kwa lori la mafuta.

https://p.dw.com/p/3pLGR