Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, amejeruhiwa+++Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Judith Suminwa, amekanusha tuhuma kwamba jeshi la nchi hiyo lilihusika na shambulizi la ndege isiyo na rubani lililotokea katika mji wa Goma.