Vituo vya kupiga kura vimefunguliwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa bunge nchini Ufaransa,Kansela Merkel wa ahimiza mataifa kudhibiti vyanzo vya ukimbizi na Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muamar Gaddafi, ameachiliwa huru.