SiasaKimataifa09.05.2026: Matangazo ya MchanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaTatu Karema09.05.20269 Mei 2026Marekani na Iran zaendelea kushambuliana katika eneo la Ghuba. Jeshi la Israel lawataka wakazi kuhama kutoka vijiji tisa kusini mwa Lebanon. Mwanasiasa wa Upinzani nchini Kongo Martin Fayulu amshtumu rasi wa nchi hiyo kwa kutaka kubaki madarakani.https://p.dw.com/p/5DWQSMatangazo