Uingereza kutuma meli ya kivita Mashariki ya Kati kulinda safari za meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz wakati vita vitakapokwisha. Urusi yailaumu Ukraine kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano. Chama cha Labour nchini Uingereza chaandikisha matokeo mabaya katika uchaguzi nchini humo.