Urusi na Ukraine zimeshutumiana hii leo Ijumaa, kwa kukiuka makubaliano ya upande mmoja ya usitishwaji vita kwa siku mbili+++Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights limeitaka serikali ya Rwanda kuanzisha uchunguzi huru kuhusu kifo cha mkosoaji maarufu wa serikali ya Rwanda, Aimable Karasira.