Schalke 04 ya Ujerumani imefanikiwa kufuzu kwa hatua ya mtoano wa ligi ya mabingwa Ulaya baada ya kuifunga Olympic Lyon mabao 3-0.
Rais wa China Xi Jinping amewasili nchini Serbia jumanne jioni, kituo cha pili cha ziara yake barani Ulaya baada ya kuitembelea Ufaransa kwa siku mbili.