Deutsche Welle: Newt Gingrich apoteza nafasi ya kuwa mgombea bora zaidi wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya Republican katika uchaguzui utakaofanyika mwakani.
Watu 12, wakiwemo watoto, wameuawa jana Ijumaa katika kambi za wakimbizi wa ndani mjini Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wanajeshi wa Urusi wameingia kwenye kambi ya jeshi la anga inayokaliwa na wanajeshi wa Marekani, haya yanajiri baada ya serikali ya kijeshi ya Niger kuamua kuwatimua wanajeshi wa Marekani nchini Niger
Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema vikosi vyake vya ulinzi wa anga vilidungua makombora manne ya masafa marefu yaliyotengenezwa na Marekani.