Katika makala Yetu Leo, Bernard Maranga anakiangazia kituo cha kusafisha magari cha Parklands mjini Nairobi, ambacho kimeanzishwa kwa ajili ya kuwafunza watu walio na ugojwa wa akili, kilichoanzishwa na Maina Gatheru, ambaye pia ana mtoto mwenye matatizo ya ugonjwa wa ajili kwa watoto, maarufu kama Autism.