1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Historia

Wahanga wa Kiafrika wa vita vya pili vya dunia

5 Mei 2020

Maelfu ya wanajeshi kutoka afrika Magharibi walipelekwa kupigana vita vya pili vya dunia barani Ulaya kuanzia mwaka 1939 na kuendelea - na hawakulipwa fidia. Idadi kubwa ilitokea katika makoloni ya Uingereza. Katika Makala Yetu Leo, tunaangazia wahanga wa vita vikuu vya pili vya dunia wa Kiafrika waliosahaulika.

https://p.dw.com/p/3bmhQ