Fahamu zaidi kuhusu mauaji ya Wagalla yaliyotokea mwaka 1984 na juhudi za familia za waathiriwa kusaka haki. Tukio hilo liliwafika wengi walioishi eneo la Giriftu iliko Kaunti ya Wajir kwa sasa nchini Kenya. Ungana na Thelma Mwadzaya katika makala haya.