1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana kujiajiri Ethiopia ni kibarua kigumu

27 Juni 2018

Huku Ethiopia ikiwa na mojawapo ya chumi zinazokuwa kwa haraka zaidi duniani, nchi hii imekuwa sehemu ambayo teknolojia inathaminiwa sana. Lakini imekuwa vigumu kwa vijana kujiajiri kwa kuanzisha biashara zinazohusiana na teknolojia kutokana na vigezo vingi upande wa serikali na ukosefu wa mtaji.

https://p.dw.com/p/30Nsn