Kilimo cha parachichi nchini Kenya ni hoja mpya ila wakulima wengi wanashawishika kuyasafisha mashamba yao na kuujaribu mmea huu. Hatua ya serikali kutafuta soko la zao hilo vile vile imewatoa wakulima shauku ya kugeukia kilimo cha parachichi kati ya mimea mingine inayostahimili mabadiliko ya tabia nchi. Jiunge na Wakio Mbogho katika makala yetu leo.