1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhamiaji kati ya Ulaya na Afrika, je kuna faida yoyote?

Harrison Mwilima3 Aprili 2020

Makala ya Mwangaza wa Ulaya, safari hii inaangazia fursa ya uhamiaji kati ya Ulaya na Afrika. Je vijana wa kiafrika wataweza kuisaidia Ulaya katika kufanya baadhi ya kazi zitakazoachwa na wazee? Hasa ukizingatia takwimu zinazoonyesha kwamba barani Ulaya asilimia kubwa ya watu ni wazee, lakini kwa upande wa bara la Afrika, vijana ndio wengi zaidi?

https://p.dw.com/p/3aP12