1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufugaji wa Panya kwa matumizi ya kisayansi

Amina Mjahid
23 Aprili 2021

Ni katika umri wa miaka 18 tu, wasichana hawa wameona changamoto ya uhaba wa panya kwa ajili ya matumizi ya kisayansi nchini Tanzania na kuchangamkia fursa. Sasa kwa namna gani wameanza ufugaji? #MsichanaJasiri 23.04.2021

https://p.dw.com/p/3sTnh