Makala ya Sema Uvume safari hii inaangalia kwa upana zaidi hatua ya mtandao wa Twitter, kukosoa baadhi ya taarifa zilizotumwa na wanasiasa wanaotumia jukwaa hilo, kati yao akiwamo Rais wa Marekani Donald Trump. Yusra Buwahyid anakuarifu mengi zaidi kuhusu hilo na mengine mengi.