1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tazama safari ya mafanikio ya Dembele

23 Septemba 2025

Ousmane Dembele, mchezaji wa Paris Saint German na timu ya taifa ya Ufaransa ndiye mshindi wa Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia, Ballon d'Or 2025. Lakini kabla ya kufikia hatua hii muhimu maishani alianzia wapi? Tazama safari yake katika soka la kulipwa.

https://p.dw.com/p/50xib