Mshukiwa anaetuma vifurushi vya mabomu kwa wanasiasa wa Kidemocratic akamatwa Marekani. Umoja wa Mataifa wasema Syria yapinga juhudi za kuandiwa rasimu ya katiba mpya. Na kansela wa Ujerumani Angela Merkel asema uchumi imara wa Afrika utapunguza wahamiaji barani Ulaya.