SiasaTaarifa ya habari za Asubuhi: 25.06.2020To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaZainab Aziz25.06.202025 Juni 2020Maambukizi ya virusi vya corona yaendelea kuongezeka nchini Marekani na Brazil. Umoja wa Ulaya wapanga kuzindua mfuko wa kupambana na athari za corona. Shirika la fedha la kimataifa IMF latoa makadirio ya ukuaji wa uchumi duniani. https://p.dw.com/p/3eIgOMatangazo