1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi: 24.10.2020

24 Oktoba 2020

Mahasimu nchini Libya wakubaliana kuleta amani ya kudumu. Armenia na Azerbaijan zaendelea kupigana wakati wanadiplomasia wake wakuu wafanya mazungumzo Marekani. Shirika la kimataifa lafedha lMF lasifu mpango wa kuiondoa Sudan kwenye orodha ya magaidi.

https://p.dw.com/p/3kNIx