1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 30.01.2023

30 Januari 2023

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema ana uhakika nchi yake inaweza kuishinda Urusi mwaka huu // Watu 15 wameuawa katika mashambulizi kadhaa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo // Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema nchi yake inaweza kuidhinisha ombi la Finland kujiunga na Jumuia ya Kujihami ya NATO, kabla ya kuamua kuhusu ombi la Sweden

https://p.dw.com/p/4Mqka