1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Soko la papa, Mombasa

13 Mei 2020

Soko la Papa mjini Mombasa, Kenya, lina historia ya miongo mingi, likiwa alama ya makutano ya tamaduni na historia za watu wa mwambao wa Afrika Mashariki na ulimwengu wa Kiarabu. Faiz Mussa amelitembelea na hii hapa ni ripoti yake kwenye #Kurunzi.

https://p.dw.com/p/3cBD6