Matangazo
Wakati huo huo, Rais Ruto ametangaza kujiuzulu kwa aliyekuwa mkurugenzi wa idara ya upelelezi George Kinoti na vilevile kamishna mkuu wa polisi Hillary Mutyambai ambaye Ruto amesema ameomba achukue likizo ya mapema kufuatia hali yake ya afya. John Juma amefanya mazungumzo na mchambuzi wa siasa Barack Muluka kuhusu majina yaliyotajwa na Ruto.