1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Programu ya simu DigiCow yaleta mapinduzi kwa wafugaji

27 Machi 2024

Peninah Njeri ambae anazitambua changamoto zinazowakabili wafugaji wa ngo'ombe wa maziwa nchini Kenya, ameunda jukwaa la kidijitali ambalo linatoa habari na rasilimali muhimu katika masuala ya ufugaji. DigiCow, imeleta mapinduzi makubwa kwa wafugaji na sasa takriban wafugaji 60,000 barani Afrika wanategemea jukwaa hilo kwa ufugaji wa kisasa.

https://p.dw.com/p/4eC6Z